ANGUKO LA MWIGULU NCHEMBA
Mwigulu ni sikio la kufa, amekuwa akiporomoka kuanzia ngazi ya familia, sasahivi amekuwa mzee wa vimada tu, baada ya kulipuliwa na wadau mbalimbali kuhusu Tabia ya kuwazini watoto wa kike anaowaahidi kuwasaidia halafu anawaongopea akishawatumia anawatelekeza.
Vijana...
Uje na hoja kuwa kazi ya Katibu Mkuu wa WIzara ya Maji ni kuimbia mapambio Mwigulu Nchemba ya kuaga jimbo, sasa kama tunakwambia Katibu Mkuu wa Wizara ya maji kachimba visima unakataa basi wewe utakuwa ZOA ZOA au KIBWENGO
Prof. Kitila Mkumbo kwa kasi ya Utendaji wake, amechimba visima vingi hadi kusababisha Mwigulu Nchemba kutumbukia kisimani, Jamani mnaemfahamu Mwigulu Nchemba amezama kwenye kisima huko alichokichimba Profesa Kitila, nani wa kumuokoa huko kisimani, Mwigulu aandae hotuba ya kuaga kwa heshima tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.