Recent content by Teacher Himself 255

  1. T

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Nkasi, Rukwa: Watumishi Ajira Mpya hatujalipwa Fedha za Kujikimu

    Kama tunakumbuka tarehe 03 Oktoba 2023 Mheshimiwa Waziri wa TAMISEMI Mchengerwa aliwaagiza wakurugenzi wa halmashauri zote kulipa fedha za kujikimu kabla ya tarehe 30 Oktoba. Lakini hali imekuwa tofauti kwa halmashauri ya wilaya Nkasi ambapo mpaka leo hii tarehe 31 Oktoba, waajiriwa wapya kada...
  2. T

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Nkasi, Rukwa: Watumishi Ajira Mpya hatujalipwa Fedha za Kujikimu

    Habari wana JF,leo napenda niongelee ubabaishaji wa halmashauri zetu kwenye kuwapa stahiki zao waajiriwa. Tunakumbuka mwezi wa 6 mwaka huu 2023 serikali iliajiri watumishi wapya kada ya afya na elimu na pia ikasisitiza wapewe fedha za kujikimu. Napenda nipongeze kwa halmashauri zote ambazo...
Back
Top Bottom