Ukitaka kujua waarabu si watu wazuri. Biashara ya utumwa waliianza kitambo kabla hata ya wazungu kuja Ila leo ukiulizia population ya watu weusi Uarabuni kama wazawa wa huko ni ndogo Sana na kwenye nchi zingine hakuna. Hapo ndio utakuwa Watumwa wengi waliuliwa huko Uarabuni na hawakuruhusu...
Toa facts sio porojo. Vyote nilivyoandika ukigoogle au kufuatilia maktaba au popote kwenye documentation ya ancient history utaona sio unabwabwaja kama sio hujui kitu kaa kimya
Waende Gaza wakaandamane wakione cha moto kama ni rahisi. Wanaoandamana wengi ni wahamiaji tena wanatoka nchi hizo za kiarabu Ila leo wakiambiwa warudishwe kwao watakataa ndio hapo utajua ni unafiki mtupu
Ukiachana na dini wao hawakukaribishwa walirejea kwao na uingerea aliyekuwa mkoloni ndie aliyewapa ardhi nenda kasome mitandaoni. Kwanini wasiitake dubai au Iran watake Jerusalem sababu sio wajinga walitaka kwao
Na hata ungejilipua usingebadilisha chochote. Israel wanaendelea kugawa dozi pale wanapochokozwa. Nchi za kiarabu ziko kimya maana Mwanaume (Israel) aliwakalisha wote ndani ya siku sita tu wakaomba poo. Na hapo walimchokoza kuhusu Palestine. Waarabu ni wanafki kama wangekuwa na mapenzi ya kweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.