Recent content by tarimemjini

  1. T

    JamiiForums Tanzania GE2025 Tarime Mjini; Mgombea wa ACT-Wazelendo, Jackson Kangoye aenguliwa na INEC kumsaidia Esther Matiko

    Baada ya jitihada za CCM Taifa kumbembeleza Ndugu Jackson Kangoye ajitoe kugombea Ubunge Tarime ili kumrahisishia Esther Matiko kushindikana, Tume ya Uchaguzi isiyo huru imeamua kumeungua mgombea huyo. Esther alimuwekea pingamizi ambalo lilitupiliwa mbali. Na akakata rufaa. Lakini rufaa ya...
  2. T

    JamiiForums Tanzania GE2025 TARIME MJINI: CCM Makao makuu wanapambana kufanya maridhiano mgombea ubunge ACT - Wazalendo ajitoe kumuokoa Esther Matiko asiyekubalika

    Toka atupiwe virago na Joyce kakosa Shangazi la kumlea. Wacha nae aishi
  3. T

    JamiiForums Tanzania GE2025 TARIME MJINI: CCM Makao makuu wanapambana kufanya maridhiano mgombea ubunge ACT - Wazalendo ajitoe kumuokoa Esther Matiko asiyekubalika

    Wamekuwa waoga sana. Kwa hiyo majimbo yote wanataka wachukue wao? Walifikiri kuizuia Chadema kushiriki uchaguzi itawapa wao ahueni? Ndio wajue watanzania kwa ujumla hawaitaki CCM.
  4. T

    JamiiForums Tanzania GE2025 TARIME MJINI: CCM Makao makuu wanapambana kufanya maridhiano mgombea ubunge ACT - Wazalendo ajitoe kumuokoa Esther Matiko asiyekubalika

    Inaoenaka moja ya makubaliano ya Bi. Kizimkazi na Salum Mwalim ni kuwa atampa baby wake Unaibu Waziri
  5. T

    JamiiForums Tanzania GE2025 TARIME MJINI: CCM Makao makuu wanapambana kufanya maridhiano mgombea ubunge ACT - Wazalendo ajitoe kumuokoa Esther Matiko asiyekubalika

    Kama CCM sasa imefikia hadi kuihofia ACT basi imeshakufa inasubiri kuzikwa. Na huyu kijana Jackson Kangoye akikubali kujitoa atakuwa amesaliti wana Tarime mjini na hatutotaka kumuona tena sura yake
  6. T

    JamiiForums Tanzania GE2025 TARIME MJINI: CCM Makao makuu wanapambana kufanya maridhiano mgombea ubunge ACT - Wazalendo ajitoe kumuokoa Esther Matiko asiyekubalika

    Juhudi kubwa zimefanyika ili wananchi na wana CCM Tarime kumkubali Esther Matiko lakini zimeshindikana. Vilanza vitisho toka kwa Mkuu wa Wilaya dhidi ya watu walioandamana kupinga uteuzi wa Esther Matiko ambayo sio chaguo la wana CCM Tarime mjini. Baadae kikaitwa kikao cha maridhiano kati ya...
  7. T

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mapingamizi ya INEC kesi ya Mpina yatupwa, kesi ya msingi kusikilizwa Septemba 8

    Sasa wanapeleka hadi wiki ijayo. Je akishinda siku za kufanya kampeni zitaongezwa au?
  8. T

    JamiiForums Tanzania GE2025 Esther Matiko awekewa pingamizi zito na Jackson Kangoye Tarime mjini

    Hana chake. Akaendelee kuuza papa na mixx by yas
  9. T

    JamiiForums Tanzania GE2025 Esther Matiko awekewa pingamizi zito na Jackson Kangoye Tarime mjini

    Tarime sio Dar es Salaam. Hii ni kanda maalum.
  10. T

    JamiiForums Tanzania GE2025 Esther Matiko awekewa pingamizi zito na Jackson Kangoye Tarime mjini

    Malaya ni malaya
  11. T

    JamiiForums Tanzania GE2025 Esther Matiko awekewa pingamizi zito na Jackson Kangoye Tarime mjini

    Una akili timamu au na wewe ni walewale?
  12. T

    JamiiForums Tanzania GE2025 Esther Matiko awekewa pingamizi zito na Jackson Kangoye Tarime mjini

    Yaani huyu Esther na Covid 19 wenzake wanatakiwa kushitakiwa mahakamani ili washugulikiwe. Na warudishe pesa za walipa kodi walizochezea na kufungwa jera.
  13. T

    JamiiForums Tanzania GE2025 Esther Matiko awekewa pingamizi zito na Jackson Kangoye Tarime mjini

    Mgombea Ubunge jimbo la Tarime mjini kupitia ACT-Wazalendo amemuwekea pingamizi Mgombea wa CCM, Esther Nicholas Matiko pingamizi zito sana. Pingamizi hili kungekuwa na utawala wa sheria Hakika Esther Matiko angeondolewa kuwa mgombea na angeshitakiwa kwa ubadhirifu wa mali za Umma. Soma Pia...
Back
Top Bottom