JamiiForums Tanzania
Mwanza tu
Nataka Nyumba Nzima, vyumba vitatu vya kulala,
Fensi, security camera, parking, inajitegemea kila kitu na isiwe uswahilini, pia iwe Krbu na barabara Maeneo Buhongwa au Airport Bajeti yangu mil 6 Kwa mwaka Ukiwa Tayari Namba IPO DM kwako nitumie picha nipo tayari muda wowote