Kiongozi mwandamizi wa UVCCM Mkoa wa Singida Cde Ng'wigulu SHIGELA amewatoa hofu wanaodanganywa kuwa CCM haijashinda kihalali kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa,
SHIGELA amesema matokeo ya CCM ni reflection ya Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi kwa Watanzania wote bila kujali Itikadi zao.
Kiongozi wa Vugu Vugu la DKT SAMIA almaarufu kama MOVEMENT SAMIA CDE Mwigulu Shigela amekemea vikali wa Mama wa CHADEMA almaarufu kama BAWACHA kwa kitendo chao cha kuteketeza kanga zilizokuwa na nembo ya picha ya Rais Samia Suluhu Hassan.
Msikilize mpaka mwisho
Unaposema unamuharibia Kafulila wakati mtu anaandika humu kwa mahaba yake tu kwa Kafulila sasa Kafulila ushiriki wake uko wapi?
Mbona hata wewe unamuharibia sana tu kwa maandiko yako?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.