Mtasema yote muungano wa UKAWA unawanyima usingizi na mnajua vyema mwisho wa ajira zenu za Lumumba umefika ko lazima ulinde kula yako...Kwani unafikiri kina Mbatia hawakuyajua hayo wameamua kwa dhati yao kuungana ili kumuondoa Bi Kilembwe anaelazimisha watu waseme nyeupe ni nyeusi tunakataa kwa...
Tuwe makini na watu wanaotaka kubomoa chama na wanaofanya siasa chafu...kama suala linashughulikiwa na chama hapa umelileta kwa manufaa yapi?Kwanza nna mashaka ww umetumwa kuvuruga co bure
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.