Kuna jambo linanishanga sana tangu kuanza kwa kampeni za uchaguzi mkuu. CCM, hasa kupitia mgombea wake wa urais JK na mwenyekiti wa kampeni wa chama hicho Abdulrahman Kinana wamekuwa kila siku wakiishambulia na kuikosoa vikali sera ya Dr. Slaa ya kutoa elimu ya awali mpaka kidato cha sita bure...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.