Hello
Poleni na majukumu
Mimi nauza nguo za watoto za kike na za kiume kuanzia miaka 0-6 bei ni kuanzia tsh 1, 000 napatikana dar goba kwa mawasiloano karibu sana PM.
Habari za weekend?
Mimi ni msichana
Naombeni kazi ya kufanya usafi
Nyumbani, restaurant, bar shuleni,ofisini na kwingineko
Napatikana Dar es salaam ukinihitaji karibu pm pia nafatilia comments
habari zenu?
kama kuna mtu anahitaji mschana wa kumsaidia kazi mbalimbali ikiwemo
.kufua
.kupika
.kuosha vyombo
au kama una watoto alafu huna wa kuwaacha nao ikiwa upo busy
pamoja na
usafi wote kwa ujumla ani pm
napatikana dsm.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.