Recent content by Takemetochurch

  1. Takemetochurch

    Kwa sababu ya umasikini wangu wazazi wa binti wamenikataa

    I believe hili jukwaa ni la kubadilishan mawazo na kupeana ushauri, sitafuti sympathy. Bahat nzur nimepata mawazo/ushauri chanya kutoka kwa waungwana, cant ask anythin mor than that. Kapuku mim nachukua kauli ya mwisho "Ni wakati wangu wa kujitathimin na kuchapa lapa" Kama ipo ipo tu, asante man
  2. Takemetochurch

    Kwa sababu ya umasikini wangu wazazi wa binti wamenikataa

    Una agenda gan nazo? kindly asking.
  3. Takemetochurch

    Kwa sababu ya umasikini wangu wazazi wa binti wamenikataa

    Uko sahih, but mapenz ni ya wawili. We decide nin kinafaa for us, binafs nisingepend kuchaguliw who wa kuwa naye. Ni best hili limetokea coz nimejua nilikuwa n mtu wa aina gan, wakwe wa aina gan. Tusingesolve changamoto bila y familia kushirikishwa, alwys ningekuwa kikaangoni. Sidhan kuna any...
  4. Takemetochurch

    Kwa sababu ya umasikini wangu wazazi wa binti wamenikataa

    Sitarud nyuma, nashikilia hapo kwa "ASIE NA MBELE WALA NYUMA"
  5. Takemetochurch

    Kwa sababu ya umasikini wangu wazazi wa binti wamenikataa

    Ni kwel, better now nimwache aende
  6. Takemetochurch

    Kwa sababu ya umasikini wangu wazazi wa binti wamenikataa

    Sex sio big deal kwngu, nilimtak yeye.
  7. Takemetochurch

    Kwa sababu ya umasikini wangu wazazi wa binti wamenikataa

    Hat huyu nilikuw naye hakuw na mapenz ya kwel, otherwise angefight for me. Issue kuwekeza kwny pesa tu
  8. Takemetochurch

    Kwa sababu ya umasikini wangu wazazi wa binti wamenikataa

    Nitaitumia kam booster bat sitoringisha, dont hate players hate the game
Back
Top Bottom