I believe hili jukwaa ni la kubadilishan mawazo na kupeana ushauri, sitafuti sympathy.
Bahat nzur nimepata mawazo/ushauri chanya kutoka kwa waungwana, cant ask anythin mor than that.
Kapuku mim nachukua kauli ya mwisho "Ni wakati wangu wa kujitathimin na kuchapa lapa"
Kama ipo ipo tu, asante man
Uko sahih, but mapenz ni ya wawili. We decide nin kinafaa for us, binafs nisingepend kuchaguliw who wa kuwa naye.
Ni best hili limetokea coz nimejua nilikuwa n mtu wa aina gan, wakwe wa aina gan.
Tusingesolve changamoto bila y familia kushirikishwa, alwys ningekuwa kikaangoni. Sidhan kuna any...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.