Recent content by Tajiri wa amani

  1. Tajiri wa amani

    Msaada wa mawazo: COVID19 inanirejesha nyumbani, baba naye hanitaki

    Wakati unaandika huu uzi labda umelewa yaani miaka 37 una kaa kwa baba na degee unayo. Sawa unakaa kwa baba af unadai laki saba nakusepa Nina chakukushauri ila sina muda.
  2. Tajiri wa amani

    Ni lini hangover ilikutesa na ilikuaje mpaka ukaapa hunywi tena kilauri?

    nakumbuka ilikua juma mosi nakuja kuzinduka juma 4 mchana nikanawa naenda kanisani na njaa ya kutosha napita mtaani naona kama hakueleweki nikarudi kulala
  3. Tajiri wa amani

    :Bei ya soya.Pia naziuza

    5 hadi 6
  4. Tajiri wa amani

    :Bei ya soya.Pia naziuza

    mkuu huku bei ni 7000 kwa sado bei halali ni 12k mawasiliano shukurudenis0012@gmail.com Samahani kwa makosa machache mkuu
  5. Tajiri wa amani

    :Bei ya soya.Pia naziuza

    Salam! naomba kujua bei ya soya au kwa anae zitaka nipo kilimanjaro mamsera huku bei ni kandamizi sana. ASANTENI KWA WATAKAO NISAIDIA
Back
Top Bottom