Recent content by taheltz

  1. T

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mhindi tapeli wa viwanja Kigamboni, anataka kutapeli wananchi kwa kutumia makampuni hewa 4

    Tuna imani na waziri , kila kitu kitakua saa na tapeli atashindwa
  2. T

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mhindi tapeli wa viwanja Kigamboni, anataka kutapeli wananchi kwa kutumia makampuni hewa 4

    huyu ni adui wa taifa kabisa, hadi serikali anaitendea mabaya. kwa kiburi cha kushirikina na watumishi wasio wazendo
  3. T

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mhindi tapeli wa viwanja Kigamboni, anataka kutapeli wananchi kwa kutumia makampuni hewa 4

    Tusha peleka ma file, mezani. Tumeelezwa tutapigiwa simu ila bado kimnya. ndo tunapanbania kumpatq direct . Tunaomba mwenye experince na huyu tapeli, afunguke tumjue vizuri adui
  4. T

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mhindi tapeli wa viwanja Kigamboni, anataka kutapeli wananchi kwa kutumia makampuni hewa 4

    Asante kwa taarifa, kumbe ni mchafu zaidi ya tunavyo mfahamu
  5. T

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mhindi tapeli wa viwanja Kigamboni, anataka kutapeli wananchi kwa kutumia makampuni hewa 4

    hizi kampuni,zinahitaji kuchunguzwa na Tra na ikibidi abanwe kulipa kodi, sidhani kama zishawahi peleka hesabu Tra. Mwenye idea jinsi ya kuziminya atupe maoni yake ) Interflow commercial (T) Limited 2) Rubab Investment 3) Jasman East Africa limited 4) Multimodal transport Africa lImite
  6. T

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mhindi tapeli wa viwanja Kigamboni, anataka kutapeli wananchi kwa kutumia makampuni hewa 4

    Ni maombi yetu alione kwakweli, mtu mmoja kuhangaisha wanachi zaid ya 10 inabidi waziri alipe uzito
  7. T

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mhindi tapeli wa viwanja Kigamboni, anataka kutapeli wananchi kwa kutumia makampuni hewa 4

    tupo kwenye harakati hizo, ila bado hatujampata direct, ila file liko ofsini kwake
  8. T

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mhindi tapeli wa viwanja Kigamboni, anataka kutapeli wananchi kwa kutumia makampuni hewa 4

    Hii michezo kama kaizoea, anavuruga kila upande, sa we mtu mmoja unapotelewa na mali kila siku wewe tu, daah, Waziri alione suala letu, na bado tunamtafuta
  9. T

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mhindi tapeli wa viwanja Kigamboni, anataka kutapeli wananchi kwa kutumia makampuni hewa 4

    Asante sana mkuu, Tutafanya na hilo la direct, maana tumeanzia kwa mkurugenzi, na ngazi zoote , mpka takukuru nao kimnya. Ndo mana tumeanza weka public wakuu walione
  10. T

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mhindi tapeli wa viwanja Kigamboni, anataka kutapeli wananchi kwa kutumia makampuni hewa 4

    tushajikusanya na kupeleka malalamiko yetu , file lipo miezi sasa bado hatujaitwa
  11. T

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mhindi tapeli wa viwanja Kigamboni, anataka kutapeli wananchi kwa kutumia makampuni hewa 4

    Anatabia ya kuuza kitu halafu, anakuja sema document zake zimepotea , na anaenda chukua loss report kabisa hata kutangaza kwenye magazeti ya serikali. Hapa anadai kupotelewa na card za magari kibao, yote anayafanya maana kashakopea huko izo card, then anadai zimepotea. pitie izi documents ...
Back
Top Bottom