Recent content by Taasisi ya Mifupa-MOI

  1. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania Tunatafuta ndugu zake, mgonjwa alifikishwa MOI, Machi 01, 2026

  2. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania Usiyoyajua kuhusu mtambo wa kisasa wa MRI uliopo MOI

  3. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania MOI yasogeza huduma za kibingwa na kibobezi kongamano la wanawake TANESCO

    Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imesogeza huduma za kibingwa na kibobezi kwa wanawake wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) katika Kongamano la Pili la Wanawake wa shirika hilo lililolenga pia kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia. Huduma zilizotolewa ni pamoja...
  4. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania MOI yang'ara kwa utoaji wa huduma, yahudumia wagonjwa 180,000 kwa mwaka

    Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI) imeendelea kuonesha dhamira yake ya kutoa huduma bora kwa wananchi kwa kuboresha mifumo ya utoaji huduma kwa viwango vya kimataifa na kuongeza uwajibikaji. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma kuhusu utekelezaji wa miradi ya maendeleo na fursa za...
  5. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania CUSNA Investment Limited yatoa msaada wa magongo 100 MOI

    Kampuni ya CUSNA Investment Limited imetoa msaada wa magongo 100 kwa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo (MOI) ikiwa ni sehemu ya mpango wake wa kusaidia makundi mbali mbali ya wahitaji. Akizungumza wakati wa makabidhiano ya msaada huo jana Februari 10, 2026, kwa niaba ya Mkurugenzi wa kampuni...
  6. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania Wauguzi MOI wapatiwa mafunzo ya kudhibiti msongo wa mawazo

    Wauguzi wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) wamepatiwa mafunzo maalum yanayolenga kuwajengea uwezo wa kutambua, kuepukana na kudhibiti msongo wa mawazo unaotokana na mazingira yao ya kazi pamoja na changamoto za kijamii wanazokutana nazo majumbani. Mafunzo hayo yamenyika leo...
  7. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania Tunatafuta ndugu zake

  8. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania Utekelezaji wa miradi moi wafikia wastani asilimia 78.5

    Kasi ya utekelezaji wa miradi minne ya maendeleo katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imefikia wastani wa asilimia 78.5, hali inayowasha taa mpya ya matumaini ya uboreshaji zaidi wa huduma kwa wagonjwa. Meneja Milki, Mazingira na Matengenezo wa MOI Bw. Victor Kamagenge...
  9. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania Heri ya Siku ya Kuzaliwa Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

  10. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania Mtambo wa CathLab waleta mapinduzi ya tiba ya kiharusi nchini

    Kwa muda mrefu, tiba ya kiharusi hapa nchini ilikuwa changamoto kubwa kutokana na ukosefu wa teknolojia ya kisasa ya kuchunguza na kutibu mishipa ya damu ya ubongo kwa haraka na kwa ufasaha. Hali hiyo ilisababisha wagonjwa wengi kupoteza maisha au kubaki na ulemavu wa kudumu. Ujio wa mtambo wa...
  11. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania Tiba ya pingili za mgongo kwa kutumia Teknolojia mpya yaanza MOI

    Kwa mara ya kwanza madaktari bingwa bobezi kutoka Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) wakishirikiana na wataalam kutoka Pennsylvania Marekani wameanza kutibu pingili za mgongo kwa kutumia teknolojia ya kisasa ya matundu madogo (Kyphoplasty/Vertebroplasty) kwa kuweka saruji tiba...
  12. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania MOI yaendelea kuwa kinara wa tiba ya mifupa Duniani

    Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imeendelea kung’ara katika utoaji wa huduma za matibabu ya mifupa katika ukanda wa nchi zinazoendelea na zinazopokea ufadhili wa vifaa tiba vya upasuaji wa mivunjiko ya mifupa kutoka shirika lisilo la kiserikali la nchini Marekani, Surgical...
  13. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania Ujenzi wa wodi mpya ya ICU ya watoto MOI yafikia asilimia 98

    Ujenzi wa wodi mpya ya Wagonjwa Mahututi (ICU) kwa ajili ya watoto wanaotibiwa katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) umefikia asilimia 98, hatua inayotarajiwa kuboresha huduma za kibingwa na kibobezi kwa watoto wenye uhitaji wa uangalizi maalum. Akizungumza leo januari 15...
  14. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania Amshukuru Rais Samia kwa kugharamia matibabu ya mtoto wake

    Mkazi wa Dar es Salaam, Simon Bryson amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kugharamia matibabu ya mtoto wake Nilsa Simon kufuatia ombi lake kupitia mitandao ya kijamii mtoto wake asaidiwe matibabu . Bw. Simon ametoa shukurani hizo leo Januari 13...
  15. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania Heri ya Miaka 62 ya Mapinduzi ya Zanzibar

Back
Top Bottom