Recent content by Taasisi ya Mifupa-MOI

  1. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania Katibu mkuu baraza la Mawaziri Zambia atembelea banda la Tanzania

    Katibu mkuu wa Baraza la Mawazi Zambia Bw. Patrick Kangwa ametembelea banda la Tanzania katika Maonesho ya 98 ya Kilimo na Biashara Zambia na kupongeza uwekezaji mkubwa kwenye sekta ya Afya Tanzania na kuahidi ushirikiano zaidi katika ueekezaji na biashara katika sekta ya Afya
  2. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania Washiriki maonesho ya 98 ya kilimo na biashara nchini Zambia waendelea kutembelea banda la Tanzania

    Washiriki wa Maonesho ya 98 ya kilimo na Biashara Zambia wameendelea kutembelea banda la Tanzania na kujifunza kuhusu huduma za kibingwa na kibobezi zinazotolewa na Taasisi ya MOI, MZRH pamoja na huduma za Uchukuzi na Usafiri za Mamlaka ya Bandari Tanzania na Shirika la ndege la Tanzania.
  3. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania Katibu Mkuu Ofisi ya Raisi (Baraza la Mawaziri Zambia) atembelea Banda la Tanzania

    Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais (Baraza la Mawaziri Zambia) Prof. Lackson Kasonka atembelea banda la Tanzania katika Maonesho ya 98 ya kilimo na biashara Zambia, apongeza huduma za kibingwa na kibobezi zinazotolewa na Taasisi ya MOI na MZRH
  4. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania Katibu Mkuu Ofisi ya Rais (Baraza la Mawaziri) Zambia akipokea zawadi kutoka kwa daktari bingwa mbobezi MOI

    Prof. Lackson Kasonka, Katibu Mkuu (SD) kutoka Ofisi ya Rais (Baraza la Mawaziri) Zambia, akipokea zawadi kutoka kwa Prof. Reuben Mutaganywa (Daktari Bingwa Mbobezi MOI) baada ya kutembelea banda la Tanzania katika Maonesho ya 98 ya kilimo na biashara nchini Zambia
  5. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania Tanzania ipo tayari kuhudumia ukanda wa SADC MOI na MZRH zafungua fursa mpya ya utalii wa tiba nchini Zambia

    Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepiga hatua nyingine kubwa katika utekelezaji wa Diplomasia ya Uchumi na Tiba Utalii (Medical Tourism), kufuatia kuwasili kwa jopo la madaktari bingwa na mabingwa bobezi nchini Zambia kutoka Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Nyanda za Juu Kusini (MZRH)...
  6. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania MOI yashiriki maonyesho ya elimu ya juu Pemba, yatoa elimu kuhusu huduma za kibingwa na bobezi

    Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili MOI inashiriki kwa mara ya pili katika Maonesho ya Elimu ya Juu yanayofanyika viwanja vya Gombani, Pemba kwa lengo la kuwafahamisha wananchi juu ya huduma za kibingwa na kibobezi zinazopatikana nchini. Ushiriki huo unalenga kupunguza idadi ya...
  7. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania Waziri Makonda aipongeza MOI kwa kuleta huduma za Kibingwa Arusha

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Mhe. Paul Makonda, ameipongeza Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili - MOI kwa kuanzisha kambi maalum ya matibabu ya kuwahudumia wananchi wa Arusha na mikoa jirani. Mhe. Makonda ametoa pongezi hizo leo...
  8. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania MOI yatoa huduma za kibingwa na kibobezi bure katika kambi maalum Arusha

    Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imeendelea kutoa huduma za kibingwa na kibobezi kupitia madaktari wake bingwa na bobezi wa mifupa, ubongo, mgongo na mishipa ya fahamu katika kambi maalum ya matibabu inayoendelea mkoani Arusha. Wananchi wa Mkoa wa Arusha na mikoa jirani...
  9. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania Dkt. Magembe apongeza huduma za MOI Sabasaba, ahimiza Kampeni ya "Vaa Helment, Ubongo Hauna Spea"

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. Grace Magembe, amepongeza huduma za kibingwa na kibobezi zinazotolewa na Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Sabasaba, huku akihimiza kuendelea kuimarishwa kwa kampeni ya "Vaa Helmeti, Ubongo...
  10. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania Huduma za kibingwa na kibobezi za MOI zavutia wananchi maonesho ya 50 ya kibiashara ya Sabasaba

    Huduma za kibingwa na kibobezi za Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) zimeendelea kuvutia wananchi katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba). Kupitia maonesho hayo, MOI imesogeza huduma karibu zaidi na wananchi kwa kuendesha kliniki maalum ya...
  11. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania Wauguzi chumba cha upasuaji MOI wakumbushwa misingi na kanuni za matumizi sahihi ya vipandikizi katika matibabu ya mivunjiko ya mifupa

    Wauguzi wa Chumba cha Upasuaji kutoka Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) wameendelea kupatiwa mafunzo ya kuwakumbusha misingi na kanuni za matumizi sahihi ya vipandikizi vinavyotumika katika matibabu ya mivunjiko ya mifupa, ikiwa ni sehemu ya programu endelevu inayodhaminiwa na...
  12. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania MOI yashiriki Mkutano wa tatu wa PEN-PLUS kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza

    Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imeshiriki katika Mkutano wa 3 wa Kimataifa wa Kimkakati wa Kikanda wa PEN-PLUS unaolenga kujadili na kuimarisha mikakati ya kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza, unaofanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC)...
  13. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania Wananchi 537 wahudumiwa katika banda la MOI wiki ya utumishi wa umma Dodoma

    Jumla ya wananchi 537 wamepatiwa huduma za kibingwa na kibobezi katika banda la Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) wakati wa Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yaliyofanyika katika Viwanja vya Chinangali jijini Dodoma. Maadhimisho hayo yamehitimishwa leo, Juni 23, 2026 na...
  14. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania MOI kuanzisha huduma mpya 11 za Kibingwa na Kibobezi nchini

    Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imeeleza mpango wake wa kuanzisha huduma mpya mbalimbali za kibobezi zitakazoifanya kuendelea kuwa kitovu cha weledi cha matibabu ya mifupa na mfumo wa fahamu katika ukanda wa Afrika. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa maadhimisho ya miaka 30...
  15. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania Tunatafuta ndugu zake, mgonjwa alifikishwa MOI, Machi 01, 2026

Back
Top Bottom