Recent content by T24 Temenos

  1. T24 Temenos

    KERO Kukatika kwa mawasiliano ya halotel wilaya ya Mafia kwa wiki tatu

    Ni takriban week tatu sasa kisiwa cha Mafia kilichopo ndani ya mkoa wa Pwani, kimekumbwa na kukosekana kwa mawasiliano ya mtandao wa Halotel, ambapo wanachi wanapata kadhia ya kushindwa kuwa na huduma ya Halopesa ambapo kuna amana zao, wakati hayo yakijiri, hakuna hatua zozote zinazoonekana...
Back
Top Bottom