kweli nduguyangu ndio tayari umeshachafuliwa ,dhalilishwa na kufedheshwa kwa ajili ya kitapeli kishenzi kimoja sa sjui utakifanyaje kijitu kamahicho zaidi sanasana utakiua tu POLE mh KAPU¥A kweli c asa mchezomchafu.
Kilicho iponza Muslim brotherhood ni ilipoingia madarakani walitamka wazi watailaani na kuipinga kwa kila hali ISRAEL kwa unyama na ukatili unaowafanyia WAPALESTINA .
Ndugu unaangaika bure miongoni mwa haki za binaada ni kutetea ushoga na usagaji yaani mapenzi ya jinsia moja,kuvaa vinguo vya nusu uchi nk sasa kwa mlengo huo labda muislam jina ndie atakaetaka ushirika na taasis ya aina hiyo lakini muislam wakweli sidhani.
ile ni vita dhidi wasomali wenyewe kwa wenyewe na uporaji ni surviving technics za kivita jeshi la somalia linapata mahitaji kupitia kodi ya raia al shabbab watapata wapi mahitaji.
Hapo ndio ujue wanasiasa wa bongo bado hawajakomaa kisiasa, kususia bunge bila kuona atharizake ni udhaifu mkubwa alafu unatoa vitisho kuwa nchi haitakalika kisa unawashabiki wengi wasiojitambua wanao ishi kwenye kiza chakulaum kilakitu serikali walio ichagua wenyewe kwa kura za bilakulazimishwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.