Mwaka mmoja na nusu na hamjaonana na mpo tz sasa mngekuwa nchi tofauti ingekuwaje,mahusiano ya mbali yana changamoto zake me nakushauri uende ukamuone me pia npo kwenye mahusiano ya mbali kama ww ila huwa tuajtahd kutembeleana
Me nlikuwa nasema kama maji n ya moto sana so alikuwa anayapooza,Hapana me haikukandwa coz nlshonwa so kukanda na maji ya moto ningesababsha nyuz zfumuke me nlshauliwa kunawa na maji ya kawaida yenye deto ya maji
Me pia nlfanyiwa hii ktu,aliyekuwa ananikanda n my aunt nliuliza inaaidia nn nkajibiwa kuondoa maumivu maana kubeba ule mzgo c mchezo pia husaidia kutoa uchafu uliobaki to my side maziwa yalichewa kotoka so nlikuwa nakandwa hadi maziwa n hayo 2
nyaggad
Me sikubaliani na ww kabsa coz what a i know mapenz hayana formular so unachotakiwa kufanya n kumuomba Mungu akupe mke mwema ndugu.Unaweza kuoa tajiri but stl akawa na tamaa ya pesa i hve alot of frnds wamezaliwa kwenye utajiri and wana kazi nzuri but stl wanatafuta wa kuwahonga,so my...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.