Recent content by swtybby

  1. S

    Wamama wajawazito hufanywa nini na maji ya moto vile baada ya kujifungua?

    uwiii,mbavu zangu mie.Kuchanka haimaansh kuwa nina kdogo
  2. S

    Wamama wajawazito hufanywa nini na maji ya moto vile baada ya kujifungua?

    Its true,w hve to respect our motherz me nlshonwa bila hata ganz w fkria sindano inaptshwa kwenye ngozi bila ganzi
  3. S

    Kabadilika tabia na bado nampenda

    Mwaka mmoja na nusu na hamjaonana na mpo tz sasa mngekuwa nchi tofauti ingekuwaje,mahusiano ya mbali yana changamoto zake me nakushauri uende ukamuone me pia npo kwenye mahusiano ya mbali kama ww ila huwa tuajtahd kutembeleana
  4. S

    Kubambiwa

    N bora nbambiwe na nnayemjua
  5. S

    Wamama wajawazito hufanywa nini na maji ya moto vile baada ya kujifungua?

    hahahaaaaa,mpana ww.Ndio ilchanika so nkashonwa
  6. S

    Wamama wajawazito hufanywa nini na maji ya moto vile baada ya kujifungua?

    Me nlikuwa nasema kama maji n ya moto sana so alikuwa anayapooza,Hapana me haikukandwa coz nlshonwa so kukanda na maji ya moto ningesababsha nyuz zfumuke me nlshauliwa kunawa na maji ya kawaida yenye deto ya maji
  7. S

    Wamama wajawazito hufanywa nini na maji ya moto vile baada ya kujifungua?

    Me pia nlfanyiwa hii ktu,aliyekuwa ananikanda n my aunt nliuliza inaaidia nn nkajibiwa kuondoa maumivu maana kubeba ule mzgo c mchezo pia husaidia kutoa uchafu uliobaki to my side maziwa yalichewa kotoka so nlikuwa nakandwa hadi maziwa n hayo 2
  8. S

    Kwa hali ilivyo sasa, nitaoa mwanamke tajiri

    nyaggad Me sikubaliani na ww kabsa coz what a i know mapenz hayana formular so unachotakiwa kufanya n kumuomba Mungu akupe mke mwema ndugu.Unaweza kuoa tajiri but stl akawa na tamaa ya pesa i hve alot of frnds wamezaliwa kwenye utajiri and wana kazi nzuri but stl wanatafuta wa kuwahonga,so my...
  9. S

    Ni kweli kuwa kuna watu ukiwa na uhusiano nao unafanikiwa kwenye vitu vyako?

    Me nina vindevu vwl ila sijui hao nliokuwaga nao wamebahatika nn,ingawa nasikiaga watu wanasema kuwa n matajiri
  10. S

    Unakumbuka nini siku ya kwanza kufanya ngono?

    Me mwenyewe nlianza nlvyomalza six nakumbuka nlikuwa nasubr matokeo,kpnd hcho nlikuwa nasoma computer veta
Back
Top Bottom