haipendezi mtu akipost kitu kama hiki aambulie maneno machafu km haya,ukijiona huna sifa alizotaja bora ukaushe co kujiropokearopokea tu maswali yaco na kichwa wala miguu,co sifa kucomment ujinga mnanikera kinouma yan
Inaonekana katika maisha yako hujatembea wewe,umezaliwa hapo,umekua hapo na utu uzima wako umekukuta hapo hapo,kwa nn uishi kwa kuckia? tembea uyaone na jifunze kuwaza mema kuliko mabaya.
kwanza unachokisema hukijui ndo maana umeuliza pili inaonesha ni namna gani usivyo na busara katika kutoa hoja zako,hebu niPM kwanza nikwambie 7bu then ndo utoe comments zako,NEVER JUDGE BY APPEARANCE NA HISIA ZAKO BINAFSI,utafeli mambo mengi ya kimaisha
kwanza unachokisema hukijui ndo maana umeuliza pili inaonesha ni namna gani usivyo na busara katika kutoa hoja zako,hebu niPM kwanza nikwambie 7bu then ndo utoe comments zako,NEVER JUDGE BY APPEARANCE NA HISIA ZAKO BINAFSI,utafeli mambo mengi ya kimaisha
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25 kabila langu ni mhaya.elimu chuo kikuu,ninafanya kazi na kuishi zanzibar ,Natafuta mwanamke aliyetayari kuwa mke mwenza,awe na sifa zifuatazo;
1.Awe muislamu mchamungu
2.awe na umri kati ya miaka 17-22
3.awe na at least elimu ya kidato cha nne
4.awe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.