Recent content by suzieq

  1. S

    Wazazi wangu wakija kwangu wanafanya maamuzi ya nini kifanyike!

    Nawashukuru sana wotee ambao mmechukua muda wenu kusoma na kunishauri , nawashukuru mno na hekima na busara zenu zimenipa mwanga kwa namna fulani. Toka jana moyo wangu umekua mzito mno kuna wakati najifungia ndani nalia ili nipate relief maana naogopa hata kusema kwa ndugu zangu. Kuna wakati...
  2. S

    Wazazi wangu wakija kwangu wanafanya maamuzi ya nini kifanyike!

    Habari wanajamvi, Kwa muda sasa kuna jambo limekua linaniumiza na nimekosa pa kuliongelea kwa uhuru ila naamini humu nitapata hekima na busara zangu. Kama ilivyo ndoto ya kila mzazi anaesomesha mtoto ni ili mtoto ajisimamie na awe msaada kwa wazazi na nduguze baadae. Hivyo ndivyo ilivyokuwa...
Back
Top Bottom