Recent content by survivors

  1. S

    JamiiForums Tanzania KERO Ajira Portal ni tatizo, kwa muda mrefu nimeshindwa kuomba kazi mfumo ukisema NIN imetumika

    Mfumo wa Ajira Portal haueleweki na umekuwa kikwazo katika kutuma maombi ya kazi. Tangu mwaka 2025, ninapojaribu kuingiza NIN yangu, mfumo hunionesha kuwa tayari imeshatumika, hali inayonikwamisha kuendelea na mchakato wa maombi. Pia, licha ya kuwasiliana kupitia barua pepe, hakuna majibu...
Back
Top Bottom