Labda ulimwengu wa vita kwa makoloni ya Afrika. UK ni mnyonge sanaaaa ni dhaifu sanaaaaaa kwa RUSSIA. UK hajawahi kusaini mkataba wowote wakupunguza silaha za aina yoyote na russia yule atabaki kuwa mlamba miguu ya US tu.
Hata walimu wako walikuwa na kazi nzito, hivi ni mwalimu gani anayeweza kujitokeza hadharani akili eti huyu alikuwa ni mwanafunzi wangu lo, hata kama ni uhuru wa kutoa maoni si kwahali hii, hapa jf panawasomi jifunze rafiki uchangie chamaana hapa jukwaani.
Watafanya nini kwa ufahamu wako, mlisema kabakiwa na nuclear tu, silaha zingine kisha tumia nahili laleo au naye ameanza kufadhiliwa na USA? mara anatumia makoleo oo kabakiwa na mabomu ya wiki moja mtahangaika sana wakati jamaa zenu wanatimua mbio huku wakifunga balozi zao.
Bado kumbe upo tulijihisi uliodoka na maandamano ya kumpinga mtawala wako aise!!! karibu tena, Mrusi ataendelea kuwaonyesha wanavikoba mpaka sasa hawazungumzi lugha moja. Anayetia aibu ni USA utamwambiaje mwanaume mwenzio alipige baunza halafu wewe unakimbilia kutangazia dunia kufunga ubalozi...
Ukosawa kabisa wana Jf tungekuwa wakweli namna hii tungejifunza mengi, tatizo liko wazi Zele anahangaika kuomba kila aina ya misaada lakini matokeo sifuli!!, wasaidizi wake vikao haviishi navyo matokeo yake sifuli yote hayo hayajasaidia kitu.
Hivi kweli hii vita mrusi ndiyo ya kwanza kupigana tangu uwepo wa taifa hilo,hadi kupelekea kugunduwa udhaifu wajeshi lake. Mbona wanapiga kelele nje ya uwanja timu siwanazo nzuri mbona hawaingizi uwanjani tuone tuhakiki wakisemacho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.