Recent content by superdove

  1. superdove

    JamiiForums Tanzania Kilimo na Imani za kijadi au Kiutamaduni (Mila na desturi)

    Habari za mida wana JF, Kuna baadhi ya makabila wao kwao ni mwiko wanawake kuchuma mboga, kuingia bustanini, au mashambani wanapokuwa katika Ada ya mwezi(hedhi). Wengi hudai kuwa mazao yanaharibika ama yatavamiwa na wadudu waharibifu au kunyauka kabisa na wakati mwingine kupunguza mavuno...
Back
Top Bottom