Habari wanajamvi, napenda kujua eti baada ya Gerson Msigwa kuteuliwa kuwa katibu mkuu wizara ya habari wakati hapo mwanzo alikuwa msemaje wa serikali yote.
Hapa amepanda kicheo au ameshuka kicheo???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.