Recent content by Sudysmile

  1. Sudysmile

    Natafuta mwekezaji katika shamba langu heka 10 mkoa wa Arusha

    Kwa kwl watu tutumie mitandao vzr japo hamna mtu wnaweza akakufanya mwnyw ila unajijushia hadhi Mm nimeshapoa na mm nilikosea kwny kuelezea Ila tuyajenge yalisha pita Sent from my SKR-H0 using JamiiForums mobile app
  2. Sudysmile

    Natafuta mwekezaji katika shamba langu heka 10 mkoa wa Arusha

    Kwa ss sina nguvu ya kulima nafuatilia umeme Nakukodishia ww ulime Hapo makubaliano yatakua kutokana na ukubwa wa shamba utakavyo taka Sent from my SKR-H0 using JamiiForums mobile app
  3. Sudysmile

    Natafuta mwekezaji katika shamba langu heka 10 mkoa wa Arusha

    Inategemea kukodisha ni 100k unaweza bahatika la kwnyw mfereji Kununua pale maeneo ya mwandeti 3.2 mil lkn hamna mfereji karibu Sent from my SKR-H0 using JamiiForums mobile app
  4. Sudysmile

    Natafuta mwekezaji katika shamba langu heka 10 mkoa wa Arusha

    Shule ya mizimuni? Sent from my SKR-H0 using JamiiForums mobile app
  5. Sudysmile

    Natafuta mwekezaji katika shamba langu heka 10 mkoa wa Arusha

    Yap nimeelewa nililosea mkuu ningefurah kuambia vzr ila sio kuitwa mwizi ilikua sio poa..uzur kuna mdau alifika na kuuliza heyo sehem akaambia panafikika all is well Next time ntakua makini Sante sna Sent from my SKR-H0 using JamiiForums mobile app
  6. Sudysmile

    Natafuta mwekezaji katika shamba langu heka 10 mkoa wa Arusha

    Wakiwa wawil itakua vzr ili divisification ya profit isiwe kuuubwa ila tukisema tulipige lote na watu waka inject kiasi kikubwa niko okay kabxa Ila set back ya mafuta tukikaa tukaitatua na watu mkawa okay na cost zake then tunalima bila tatizo Ndo maana plan B nimetafuta tanesco waanze...
  7. Sudysmile

    Natafuta mwekezaji katika shamba langu heka 10 mkoa wa Arusha

    Hapo uko sawa kabisa mm sio mkazi wa hapo mm ni wakuja so kuchanganya mafile inatokea Uzur watu weliofikia stand wakaulizia wakaambia mwandeti panafikia yote ni kheri na afadhi Mafuta mafuta ndo imekua changamoto mkuu kisima ni kirefu na lazima uweke kwnyw bwawa then mashine moja ipeleke...
  8. Sudysmile

    Natafuta mwekezaji katika shamba langu heka 10 mkoa wa Arusha

    Umeona bro watu wamefika nduruma stand na wameuliza mwandeti ipo Ndo ujifunze kua mwnyji sio kila sehem utaijua Be hamble next tym kama waona huelewi kitu ka kimya fanya uchunguzi then approch mtu kwa unidham sio kuita watu wezi Sent from my SKR-H0 using JamiiForums mobile app
  9. Sudysmile

    Natafuta mwekezaji katika shamba langu heka 10 mkoa wa Arusha

    Hizi ndo mashine tunatumia kupandisha maji na nyingine ya kupeleka maji shambani kutokea kwny bwawa kama huku juu nilivituma shamban Sent from my SKR-H0 using JamiiForums mobile app
  10. Sudysmile

    Natafuta mwekezaji katika shamba langu heka 10 mkoa wa Arusha

    Mm niko flexible heka yote naweza nikakupa ila lazima nikupe kijana wa kuweza kurun mashine zetu as zinaitaji kubadil oil kila masaa 50 zije zikaharibika Tunaweza kukodisha kwa msimu ni maelewano t If ur really serious sio yani serious yan deadly serious tunaweza tunaweza tukakukodishia...
  11. Sudysmile

    Natafuta mwekezaji katika shamba langu heka 10 mkoa wa Arusha

    Alooo asante sna kwa msaada wako huyu jamaaa alikua anajaribu kuwapoteza Wabongo wengi social media wana abuse Sijui hata huwa wanafikiria... Mm nia ilikua nikuoata mtu wa kusaidiana nae kwny shamba Nikupe hongera pia kwa kufika mpk hapo yaonesha jinsi gani umechukua hatua ukajua kijiji...
  12. Sudysmile

    Natafuta mwekezaji katika shamba langu heka 10 mkoa wa Arusha

    Ni kwl mashamba yapo ya kumwaga bie kama sikosri ni 100k kwa heka ukibahatika lenye kupita mferiji Mengi hayafiki kama hii langu mvereji uko mbaaali sna so nimechimba kisima
  13. Sudysmile

    Natafuta mwekezaji katika shamba langu heka 10 mkoa wa Arusha

    Kiubinadamu zio rahc kuamini afu isitoshe ni mambo ya kwnyw mtandao naelewa ni ngumu kumeza Ila pale mtu atakapo kua na wito kamili wa kufika sehem yenyw mm nitampeleka na kumuuonesha viambatanisho vyote kua shamba ni langu
  14. Sudysmile

    Natafuta mwekezaji katika shamba langu heka 10 mkoa wa Arusha

    Hapo kwa heka yaitaji 40k kwa kila heka kwa kulima hauja palilia 40k ha haujapanda 40k haujapiga dawa dram 10k haujaweka mbolea na KUBWA YA YOTE WATUMIA DIZEL UTASEMA BADO NI RAHC
  15. Sudysmile

    Natafuta mwekezaji katika shamba langu heka 10 mkoa wa Arusha

    Hapana sio rahc hata kdg sio tena la kupitisha trekta watu wanalima na mikono so sio bei ndg
Back
Top Bottom