Niliposema program nammaanisha uwasilishaji wa jambo nililokusudia
Angalizo
Street ICT lengo letu kubwa ni kuwashawishi na kuwapa wanafunzi wigo mpana tangu wakiwa shule waelewe kuwa kuna career nyingi tu ndani ya field ya computer.
Habari waungwana
Nimekuja kuitambulisha statups yangu hapa inaitwa Street ICT ni wazo nililoanzisha nikiwa chuo mwaka 2013 mwezi wa 10.
Street ICT inajishughulisha na
utowaji wa elimu hasa katika tehama katika shule za secondary na primary school.Pia kwa jamii na hata taasisi ambayo/ambazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.