Ndio ni suala la elimu lakini katika maisha ya haswa maeneo ya vijijini watu wengi wanakumbwa na tatizo la umaskini hiyo inapelekea wazazi kushindwa kuwa pangilia watoto mlo ulio sahihi yani lishe bora zaidi watoto kuishia kula vyakula vya wanga tu ambavyo vinaenda kuwadumaza watoto wengi walio...
Habari zenu wanajamii wenzangu wa JamiiForums , katika makala hii fupi ninayoandika ni kwa lengo la kuelimisha na kufundisha wazazi na walezi juu ya umuhimu wa lishe bora hasa kwa watoto wadogo walio chini ya umri wa miaka mitano katika maeoneo ya vijijini na hii itaweza kusaidia kutengeneza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.