Kuna hizo taarifa naona zinakuwa kwa kasi hasa humu jf katika thread nyingine na maeneo mengine je ni kweli wizara haita wadahili kusomea ualimu wenye div.4 32-34 kwa ngazi ya cheti?
www.moe.go.tz
Samahani sana wakuu,
Ninaomba kufahamishwa taratibu za kujiunga na jeshi la magereza au uhamiaji kwa walio hitimu kidato cha nne mwaka 2013
Je nafasi zao hutolewa lini?
Na mafunzo hayo hutolewa kwa muda wa ni miaka mingapi?
NB:nijuze katika idara unayo ijua kati ya magereza na uhamiaji...
ulisoma tangazo la wizara? Kumbuka kuna wenye div.4 32-34 wamesha anza kusoma katika private colleges...sasa wewe unataka kupindisha mambo au unatoka wizarani?
Hebu pitia hapo
www.necta.go.tz
The National Council for Technical Education
United Republic Of Tanzania - Ministry of Education and Vocational Training
PMORALG | Prime Minister's Office - Regional Administration and Local Government
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.