ninawapongeza sana wabunge wa chadema kwa msimamo wenu juu ya swala laposho nyie ndio mnao ona masha magum kwa mtanzania wa kipato cha chini simamen katika msimamo huo huo
posho kwawabunge siosawa kwa wananchi ambao wanapata mlo mmoja tuu kwa siku nivyema spika awajibike kwa hili kwa kujiuzulu na wale wabunge wanaosapoti posho kipindi kingine cha uchaguzi wa siwaami tena maana hawafaam maadili ya kazi waliotumwa na wananchi waliowachagua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.