Recent content by STEVE REDINHO

  1. S

    'First Class' ya UDOM ni sawa na 'Gentleman' ya SUA

    Naona umevurugwa kweli, ila hebu nenda kwanza hospitali ukapime akili zako kua ziko vizuri au si makosa yako? Haiwezekan utoe vi2 mtaani afu utuletee upuuzi wako hapa 2ujadili!!!!!!!!!!!!
  2. S

    Uhaba wa maji UDOM na athari zake...

    Naona kijana umekosa cha kuandika, mm nipo mwaka wa pili na cjawahi kuona shda ya maji km unavyoipigia debe hapa jukwaani, kama ndo umekuja jaribu kuuliza kuwa watu wanaishije ndo utafute cha kuandika nasio kukurupuka na kuandika upuuzi wako kama huu!!!
  3. S

    Hatari UDOM: Mtoto mchanga aokotwa kwenye dustbin

    Hili si suala la kuchekea wala kuoneana aibu, hebu wenye dhamana wachukue jukumu la kufuatilia ili apatikane mwenye kosa na sheria zichukue mkondo wake mana hata katiba ya nchi hairuhusu unyama huu!!!!!!
  4. S

    Physics V/s Geography

    Jaman wadau wana JF naombeni msaada kwa wanaojua zaidi kuhusu kozi hii kuwa m2 anapomaliza anaweza kufanya kaz gan na Degree hii inapatikana vyuo gani hapa Tz!!!!
  5. S

    Ni wapi nitoe taarifa hii?

    Kua specific bwn vyet vya aina gan? ila kma nivya taluma vipo vyombo na ngaz husika za kufuata ila 2 uwe na uha kika yasije kukugeuka mwenyewe!!!!
  6. S

    wadau mm naombeni msaada kuhusu maswala ya Helsb...

    Hapana kijana lazma utakua umekosea ki2 wkt unaupdate au hukukamilisha updation yenyewe na ukaishia nusu ila ile ni system inaweza kuleta era mda wowote 2 lakin lazma ww ndo una makosa ndo mana wanashndwa kukusaidia!!
  7. S

    [MUCCoBS],Waliobadili programme/couse kukosa mkopo chuo cha MUCCoBS ,

    Duu!!! Polen jaman ila wanaohusika na uzembe huu wachukuliwe hatua stahiki!!
  8. S

    Ranking mpya za vyuo 100 africa

    Hi n saf xana mkuu coz UDSM bado tupo juu kk!
Back
Top Bottom