Huwezi kuogopa kuwa kiongozi simply kwa sababu mzazi wako alikuwa kiongozi! Ni upuuzi! Na uchambuzi wote wa kunanga mpango huu unaonyesha wazi ufinyu wa fikra again phobia. Inafanya mtu aanze kuwaza huu uoga unatoka wapi!
Unahoji mifumo ya kibenki mfano TIB kutoa mikopo kwa taasisi za ndani ya nchi katika uwekezaji mfano BDC. Japo umeenda mbali na mada ambayo ni article ihusuyo initiative ya Makamba katika kupambana na rushwa lakini si mbaya ukifahamu kwamba BDC imeanzishwa kisheria, inaendeshwa kwa faida ambayo...
Mkuu Astrophysics chuo gani hapo Canada? Less than 8 Canadian universities offer a PhD in Astrophysics. Tujuze nasi tujaribu kushare na wenzetu habari njema za kutuma maombi. By the way kama unafanya PhD ya Astrophysics, chances are 100% second degree au hata undergrad hujasoma Bongo!
Kama wapi? Kamati ya Nishati na Madini? Mikataba ya Gesi? Seriousness ya kwanza ni kukataa rushwa! Ambayo January kaionyesha.
Kashfa nzito Wizara ya Ngeleja
MAOFISA WA JUU WATUHUMIWA KUIHONGA KAMATI YA MAKAMBA
Monday, 04 July 2011
WIZARA ya Nishati na Madini imeingia katika kashfa nzito...
Babu hakuna mbunge wa hii nchi anaweza kuhonga kuandikwa The Guardian, The Economist au hata Africa Report! You have to do something to get there. A mere fact kwamba umeanza kwa kubeza makes your whole comment biased. By the way, project ya kusaidia kupunguza kuoza kwa matunda shambani...
CCM si chama cha mtu mmoja. Overhauled system can begin with him na sasa we have all seen how many young people an inspire! SAUT tumeona mikutano yake, Wahitimu vyuo vikuu Dar, VETA na Ushirika Moshi, YUNA Tanzania, etc. Ni suala la muda. Effect ya January inaonekana. All this discussion...
It's pathetic how this whole stuff inakwenda personal tena mchangiaji by mchangiaji. Jamaa mwenyewe angekuwa anasoma angecheka sana kwa idadi ya vichwa panzi wanaomshambulia. Wait, hivi umesema una PhD ya wapi tena?
Unless you describe this within concrete facts that all who are against this brilliant champ have failed to do then anything that you say below this thread ends up as a hearsay. Really? A PhD candidate? Zero premises argument? With a blind conclusion?! Ulifikaje huko kwa PhD?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.