majanga ma2pu siamini tena kwenye tetesi kauli k2 gani mara ngap wametangaza????tangu january had leo npo zangu private nakula bata mie serikali yangu ni kichwa changu tu!!!!
Yap kwel bt 2tafuten ishu nyngne za kufanya pia 2peane mbinu mbadala za kujikomboa kimaisha tofaut na kusubiria ajira ambazo hatujui ztatoka lini ...nashndwa kuelewa ni kwamba malalamiko yetu hayafk sehem husika au? Au hatujajua sehem husika ya kutoa maoni yetu???????????????????
Inaumiza xn ila kwel jaman ndugu zangu 2nateswa na tunaumizwa kisaikolojia vyombo vya habari vipo kwa nini tuctangaziwe rasmi?????hata kama kwel serikal haina hela iweke mambo bayana tutaridhika tu ila kilichobak ni cc kujishughulisha na mambo mengne 2kitegemea hii serikal 2takufa tukiwa...
Kwel ni shidah!!!!bt kiukwel walim wenzang bora 2jikite katka masuala mengne kama kilimo na biashara ktegemea ajira 2takufa njaaa na serikal yet haina huruma kwa kwel
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.