Recent content by Stel

  1. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume asie na uwezo wa kupata mtoto anahitajika

    Nianze kwa kukushukuru kwa mchango wako,naamini huna changamoto ya kupata mtoto,kwa kifupi kukosa nguvu ya kupata mtoto naweza sema ni umaskini pia lakini kwa upande wa watoto,inamaana inaumiza Sana kwanini Mimi nisipate watoto unakuwa unateseka na hata kisaikolojia kuathirika.na mtu wa Hali ya...
  2. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume asie na uwezo wa kupata mtoto anahitajika

    Mwanamke.
  3. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume asie na uwezo wa kupata mtoto anahitajika

    Nikipata mtu yupo interested na njia hiyo,inawezekana.
  4. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume asie na uwezo wa kupata mtoto anahitajika

    Asante
  5. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume asie na uwezo wa kupata mtoto anahitajika

    Asante kwa mchango wako,hata akipatikana ambae yupo interested na njia hii sawa.mimi nipo tayari.
  6. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume asie na uwezo wa kupata mtoto anahitajika

    Ok,ugumba unaweza kuwa na kizazi safi ila mirija inashida au hormone imbalance,ukajikuta huwezi zaa.
  7. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume asie na uwezo wa kupata mtoto anahitajika

    Hapana,nikipata mme ambae yupo tayari kwa njia hii ,sawa maana kizazi kipo Sawa doctor alihakikisha
  8. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume asie na uwezo wa kupata mtoto anahitajika

    Ndio
  9. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume asie na uwezo wa kupata mtoto anahitajika

    Kaka inahitaji uelewa sana.la sivyo baada ya mda manyanyaso huanza.
  10. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume asie na uwezo wa kupata mtoto anahitajika

    Mimi mkristo
  11. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume asie na uwezo wa kupata mtoto anahitajika

    Asante
  12. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume asie na uwezo wa kupata mtoto anahitajika

    Thank you!
  13. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume asiye na uwezo wa kupata mtoto anahitajika

    Hongera! Mimi ninahitaji Mwanaume asie na uwezo wa kupata mtoto kwakuwa na Mimi ninachangamoto ya kutopata mtoto.nina miaka 41, education degree level,sina mtoto,mucha mungu,naamini yupo mwanaume ambae anapito ninalopitia mimi.niweke wazi si Jambo rahisi likikukuta,hivyo yule mwanaume serious...
  14. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume asie na uwezo wa kupata mtoto anahitajika

    Habari! Mimi pia nina changamoto ya hii.hivyo nimekuja hapa serious kama kuna mwanaume anauhakika anapito hili ambalo kiuhalisia linaumiza sana. lakini binafsi kisaikolojia nimepona nahitaji mwenza.nina miaka 41, nina degree.mume awe mcha Mungu,kiuchumi vizuri,.ndugu zangu ukiwa na changamoto...
Back
Top Bottom