Hongera! Mimi ninahitaji Mwanaume asie na uwezo wa kupata mtoto kwakuwa na Mimi ninachangamoto ya kutopata mtoto.nina miaka 41, education degree level,sina mtoto,mucha mungu,naamini yupo mwanaume ambae anapito ninalopitia mimi.niweke wazi si Jambo rahisi likikukuta,hivyo yule mwanaume serious...