Recent content by Stefano

  1. S

    Hivi sijaelewa au ni utapeli?

    Jaza form kama kutakuwa na lolote huko mbeleni tupe update tutaweza kuwa na fununu juu ya hilo
  2. S

    Mkuu wa Chuo anahitajika Haraka

    Mbona swali la MINJA halijibiwi au ndio magumashi?
  3. S

    we need a project cordinator

    Sound interesting! See you at interview
  4. S

    Msaada ndugu zangu japo ushauri nina certificate of procurement and logistics.

    Nafikiri kwa asilimia kubwa waweza pata majibu. Jaribu kutafakari na kuangalia fulsa kadhaaa za ujasiliamali
  5. S

    tabia mbaya ya kuchoma moto cv za watu secritary wa TBL mbeya

    Hiyo tabia ipo ofisi nyingi hususani pale watu wanapokuwa na jamaa zao wameomba. Wanafanya hivyo kupunguza ushindani
  6. S

    Tamko toka Tanzania International University kuhusu ajira walizotangaza

    Sasa mbona watu wote mmewaandikia email ya mchango? ina maana wote wanakidhi kuitwakwenyeusaili?
  7. S

    Kaa Chonjo: Kazi:Tanzania International University ni Utapeli tupu!!!!!!

    Hawa TCu wanasubiri maandamano ndio watoe tamko lao juu ya hiki chuo?
Back
Top Bottom