Inategemea, maana siku hizi vyuo huwa vinawasilisha matokeo NACTE na wao wanayaweka kwenye database yao, na ndio maana unapoandika namba yako uliyosajiliwa nayo chuo ulichotoka wanakuruhusu kuendelea kuchagua vyuo unavyotaka kwenda. Labda miaka ya nyuma ndo ilikua lazima ku scan matokeo yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.