Habari watalamu wa mambo!!!
Husika na kichwa cha uzi hapo juu
Naomba kwa mwenye uelewa kuhusu chuo cha ualimu kleruu nahitaji kujua kuhusu mazingira yapoje masomo yanayofundishwa na pia vipi kuhusu ajila baada ya kumaliza pia je huduma za kijamii kama maji na umeme zinapatikana vizuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.