Recent content by Stabilaiza

  1. S

    JamiiForums Tanzania CHADEMA: Polisi wenye silaha za moto wazuia msafara wa Makamu M/kiti wetu, Tundu Lissu ukielekea Kibaha

    Hivyo amsha amsha ya Tindu Lissu ni lazima katika kurudisha nchi yetu kwenye nafasi yake ya kuwa nchi ya asali na maziwa inayoheshima utu wa ubinadamu
  2. S

    JamiiForums Tanzania CHADEMA: Polisi wenye silaha za moto wazuia msafara wa Makamu M/kiti wetu, Tundu Lissu ukielekea Kibaha

    Katika kipindi hiki cha cha uchaguzi, mafanikio ya vyama vya siasa na wananchi kwa ujumla wake yatafikiwa kwa kufanya political action. Ni makosa makubwa kufikiria kuwa nchi yetu itarudi kwenye mstari wa kuheshimu sheria, kuheshimu misingi ya demokrasia, kuheshimu utawala bora na kuheshimu haki...
  3. S

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu usirudi Tanzania kipindi hiki, “endelea na matibabu kwanza”

    Mkuu hebu irudie hii kwa English na Kiswahili, itapendeza sana
  4. S

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu usirudi Tanzania kipindi hiki, “endelea na matibabu kwanza”

    Maneno kama haya nina hakika bado yapo kwenye mioyo na roho za uuaji za watu ambao Tundu Lissu amesema people at the top are no longer thinking and acting rationally
  5. S

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu usirudi Tanzania kipindi hiki, “endelea na matibabu kwanza”

    Kuna watu wanaonekana kuheshimika sana na wanawauasi wa kutosha kwenye mitandao fulani ya kijamii. Mtu anasema Lissu arudi Tz kwa sababu wasiojulikana kuhusika na kutaka kumuua Lissu wameisha. Eeeh, kweli wameisha? Vipi wale alivyoambwia yeye mwenyewe kuwa "people at the top are no longer...
  6. S

    JamiiForums Tanzania CHADEMA siyo sehemu salama au sahihitena kwa Tundu Lissu

    Ndiyo maana Tindo na Kudo wamekushukia kama mwewe kwa sababu ya uharo na upuuzi wako huu
  7. S

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu usirudi Tanzania kipindi hiki, “endelea na matibabu kwanza”

    Hoja haijibiwi kwa vioja. Ameahirisha sasa kwa sababu ameona hoja iliopo hapa, ameachana na vioja ulivyoleta hapa
  8. S

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu usirudi Tanzania kipindi hiki, “endelea na matibabu kwanza”

    Usipotoshe, Lissu alipinga sheria mbovu zilizotungwa kwa wanafiki kusema ndiyo. Baada ya kupitishwa na wanafiki anaelezea madhara yake
  9. S

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu usirudi Tanzania kipindi hiki, “endelea na matibabu kwanza”

    Ni dawa gani hizo anazotoa huyu P, zaidi ya pumba. Ila hapa nimekuelewa unamdhihaki kwa pumba zake
  10. S

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu usirudi Tanzania kipindi hiki, “endelea na matibabu kwanza”

    Acha kupotosha, historia yake kutetea wananchi wanyonge iko wazi sana, hana tamaa za kishamba za fedha na vitu. Lissu anathamini ubinadamu kuliko vitu na pesa
  11. S

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu usirudi Tanzania kipindi hiki, “endelea na matibabu kwanza”

    Tz ni nyumbani kwake, anahaki zote kurudi ila tunachosema kwa sasa wale wanaowaza na kutenda isivyo hatuna uhakika kama wameisha huko mawinguni
  12. S

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu usirudi Tanzania kipindi hiki, “endelea na matibabu kwanza”

    Pamoja na hayo bado siyo muda muafaka, atakuja baadaye
  13. S

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu usirudi Tanzania kipindi hiki, “endelea na matibabu kwanza”

    Tunapenda iwehivyo, ila kitu muhimu kwa sasa aendelee na matibabu kwanza, atakuja baadaye
  14. S

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu usirudi Tanzania kipindi hiki, “endelea na matibabu kwanza”

    Kama mbunge anahaki ya kukamilisha vizuri matibabu yake
  15. S

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu usirudi Tanzania kipindi hiki, “endelea na matibabu kwanza”

    Hii hofu inamaelezo yake, nisome
Back
Top Bottom