Recent content by St Athan

  1. S

    TRA 2025: Tupeane Mbinu za kufaulu usaili (Interview) wa TRA

    Changamoto sana kaka. Ulichukua hatua gani so far?
  2. S

    TIN Number kutoonekana kwenye Recruitment portal ya TRA

    Habari Wadau, Nakutana na changamoto ya usajili wa TIN number kwenye recruitment portal ya TRA, ambapo kila nikijaribu kuingiza number husika za TIN na kuzi-save, mfumo unaleta msg kwamba zimekuwa saved successfuly, lakini baada ya muda sehemu ya TIN yenye asterisk inabaki wazi tena. Je, kwa...
  3. S

    TRA 2025: Tupeane Mbinu za kufaulu usaili (Interview) wa TRA

    Mkuu Habari, Kwenye recruitment portal nikiandika TIN no. na kui-save, baada ya muda haionekani, Hii Changamoto umekutana nayo? na way foward ni ipi? Shukran.
Back
Top Bottom