Habari Wadau,
Nakutana na changamoto ya usajili wa TIN number kwenye recruitment portal ya TRA, ambapo kila nikijaribu kuingiza number husika za TIN na kuzi-save, mfumo unaleta msg kwamba zimekuwa saved successfuly, lakini baada ya muda sehemu ya TIN yenye asterisk inabaki wazi tena.
Je, kwa...
Mkuu Habari,
Kwenye recruitment portal nikiandika TIN no. na kui-save, baada ya muda haionekani,
Hii Changamoto umekutana nayo? na way foward ni ipi? Shukran.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.