Tabia mbaya ukiendekeza hua haina kikomo,leo umepita kwa mke wa rafiki yako,kesho utapita kwa mke wa kaka ako au mdogo wako,kesho kutwa utapita kwa binti yako,chamsingi acha tabia hiyo pia jutia sana hicho kitendo ndugu yangu
Unawezaje kukataa ndoa?je nivyema kuishi maisha ya uzinifu ?kwa upande wangu kama kuna mambo ya msingi hukuyazingatia kabla ya kuingia kwenye ndoa basi mara nyingi ndoa yako inaweza kua inashinda baadae,si kila mwanamke hafai,ila kizazi hizi cha sasa mtu anaangalia sura,shepe,wowowo ndo anaingia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.