Natumaini yote wazima na shida na maisha yanakua magumu zaid Natafuata kazi yoyote ilioyahalali na sio utani jamani Mwenye. Babysitter,secretary, work at a shop,super market Even working in a stationery. Pls call 0716316454 or email. Safi.anu@hotmail.com I will be plz with any job above...
Yeyote anayetafuata
mfanyakazi wa stationery nipo hapa. Nimesomea komputer na nimefanya
kazi kwenye stationery tatu nina uozoefu. Napatikana Dar es
salaam , just pm me thanks email yangu ni
[email]safi.anu@hotmail.com[/email ]
+255716316454
Natanguliza shukurani.
nimesoma mpaka kidato cha nne.
najua sana computer vingine nimejifunza mimi binafsi. ndio maana sijataka kusema maana azipo kwenye certificate yangu. asante
nimerudi
tena wanjamvi na shida ya kazi. Maisha magumu nimesomea komputer
masomo ya Microsoft acess,microsoft excel, Microsoft Word, internet
& email.
i can do work in a internet cafe or stationery even secretary
natanguliza shukurani kwenu. lakini naomba asiokua na nia yakusaidia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.