KIwanja kinauzwa Sala sala mbele ya kilima hewa,Mtaa wa Kistaarabu sana
Kina sqm 500,kiwanja kipo tambarare.
Kimepimwa kina hati safi ya wizara
Bei mln 28 maongezi yapo
0675 065906
Mkuu mwenye kiwanja yupo ni mtu mzima proffesor amekata amepima eneo lake amekata viwanja ametupa vijana kazi tumuuzie yeye hana muda wa kutafuta wateja mitandaoni.
Kiwanja kina sqm 584,
Bei milioni 14 maongezi kidogo yapo.
Kiwanja kipo mtaa mzuri uliojengeka, barabara inafika mpaka kwenye kiwanja
Kimepimwa kina hati ya wizara
0675 065906
KIWANJA KINAUZWA KIBAMBA NJIA PANDA
Kiwanja kina mita 40×30 sawa na SQM 1200
kiwanja hiki kimepimwa kina hati ya wizara
Kipo mtaa nzuri ulijengeka
Barabara inafika mpaka kwenye kiwanja
Kipo umbali wa km 1.5 kutoka kibamba njia panda
Bei mln 40 maongezi kidogo yapo
0675 065906
VIWANJA VIPO MBEZI MWISHO MSIGANI
✳️ VINA SQM 700 KILA KIMOJA
✳️ VIMEPIMWA VINA HATI YA WIZARA
✳️ PUNGUZO LA BEI MLN 15 TU
✳️ VIPO ENEO ZURI LENYE HUDUMA ZOTE
WAHI FASTA UCHUKUE CHAKO VIMEBAKI VIWANJA VIWILI 2 TU
0675065906
Kiwanja kinauzwa bei nafuu sana
Ni maeneo ya kiluvya kwa komba
📍Ukubwa 20/20 bei mln 6 na nusu tu ukitaka ukubwa zaidi pia unapata
●Huduma zote za kijamii zinapatikana
●Umeme, Maji vyote vipo
●Kilomita 1 tu kutoka barabara kuu ya lami ya Morogoro road
📍Kupelekwa site ni kuona kiwanja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.