Recent content by Sonship

  1. Sonship

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa madale mvumoni (ushuani )

    KIWANJA KINAUZWA – MADALE MIVUMONI 📍 Mahali: Madale Mivumoni 📐 Ukubwa: SQM 1,600 📄 Kimepimwa rasmi na kina Hati ya Wizara 🌳 Kipo katika mtaa mzuri, salama na unaoendelea kwa kasi Kiwanja hiki kinafaa kwa: ✅ Ujenzi wa nyumba ya kifahari ✅ Apartments au nyumba za kupangisha ✅ Uwekezaji wenye...
  2. Sonship

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kibamba kwa Mangi

    KIWANJA KINAUZWA – KIBAMBA KWA MANGI, UBUNGO Unatafuta kiwanja kizuri kwa ajili ya makazi au uwekezaji? Hiki ndicho fursa yako! Mahali: Kibamba Kwa Mangi, Wilaya ya Ubungo Ukubwa: Meta 20 × 25 Bei: TSh Milioni 14 tu (maongezi yapo) Umeme upo karibu Maji yapo karibu Barabara ya gari inafika...
  3. Sonship

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kimeshuka bei - Kibaha Maili Moja, Loliondo

    KIWANJA KIMESHUKA BEI ! KIBAHA MAILI MOJA-LOLIONDO Mahali: Kibaha Maili Moja – Loliondo (Kwa Mama Rose) Ukubwa: 35.62m × 27.12m = 966 sq.m Kiwanja kimepimwa na kina ramani Kinafaa kwa makazi au biashara Umeme unapatikana Maji yanapatikana Barabara inafikika kwa urahisi Bei: Tsh...
  4. Sonship

    JamiiForums Tanzania Viwanja 2 mbezi -Luguruni vinauzwa

    VIWANJA 2 – MBEZI LUGURUNI VINAUZWA Je, unatafuta kiwanja kwa ajili ya makazi au uwekezaji? Hii ni fursa yako! 📍 Eneo: Mbezi Luguruni 🔹 Kiwanja cha 1 📐 Ukubwa: 700 m² (SQM 700) 💰 Bei: TSh Milioni 15 🔹 Kiwanja cha 2 📐 Ukubwa: 1,300 m² (SQM 1300) 💰 Bei: TSh Milioni 35 ✅ Vyote vimepimwa na vina...
  5. Sonship

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa Kibaha Muheza, mpakani na Kibamba Hondogo kwa Kong'wa

    Eneo: Kibaha Muheza, mpakani na Kibamba Hondogo – Kwa Kong'wa. Ukubwa: Mita 27 × 37 Bei: TSh Milioni 13.5 (Mazungumzo kidogo) Faida za Kiwanja: 1. Kiwanja ni tambarare sana. 2. Umeme upo, unashusha waya tu. 3. Maji ya DAWASCO yanapatikana. 4. Gari linafika hadi site wakati wa masika na...
  6. Sonship

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa, Kibaha Maili Moja Loliondo

    Bei ya kawaida kiwanja kimepimwa mkuu
  7. Sonship

    JamiiForums Tanzania Lodge nzuri inauzwa Goba, njia panda ya Tegeta A kwa niaba ya benki

    LODGE NZURI INAUZWA (MIL 170) GOBA NJIA PANDA YA TEGETA "A" KWA NIABA YA BANK Ina Vyumba Tisa (9) Vyote Self Contained Na Frem Nne (4) Za Biashara Umiliki: Mkataba Wa Mauziano Ukubwa Wa Eneo: SQM 810 Imekamata Barabara Kuu Ya Kwenda Tegeta "A" Umbali: 2 Kilometres Kutoka Goba Road Maji...
  8. Sonship

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kikubwa Kibaha Loliondo kwa Mama Rose

    KIWANJA KINAUZWA – KIBAHA MAILI MOJA (LOLIONDO) Unatafuta kiwanja kwa ajili ya kujenga nyumba au kuanzisha biashara? Hiki ni fursa nzuri! 📍 Mahali: Kibaha Maili Moja – Loliondo (Kwa Mama Rose) 📐 Ukubwa: 35.62m × 27.12m = 966 sq.m ✅ Kiwanja kimepimwa ✅ Kinafaa kwa makazi au biashara ✅ Umeme...
  9. Sonship

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nyumba inauzwa Kibamba shule (Hondogo), Dar es Salaam

    NYUMBA INAUZWA – KIBAMBA SHULE (HONDOGO), DAR ES SALAAM 💰 Bei: TZS Milioni 27 tu Sifa za nyumba: ✅ Kiwanja ukubwa wa mita 23×25 ✅ Umbali wa km 3 kutoka barabara ya lami ✅ Vyumba 2 vya kulala: Master Bedroom 1 Single Bedroom 1 ✅ Sebule ✅ Jiko ✅ Public Toilet ✅ Plasta ya ndani...
  10. Sonship

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa, Kibaha Maili Moja Loliondo

    KIWANJA KINAUZWA – KIBAHA MAILI MOJA (LOLIONDO) Unatafuta kiwanja kwa ajili ya kujenga nyumba au kuanzisha biashara? Hiki ni fursa nzuri! 📍 Mahali: Kibaha Maili Moja – Loliondo (Kwa Mama Rose) 📐 Ukubwa: 35.62m × 27.12m = 966 sq.m ✅ Kiwanja kimepimwa ✅ Kinafaa kwa makazi au biashara ✅ Umeme...
  11. Sonship

    JamiiForums Tanzania Nyumba inauzwa Mbezi -Makabe kwa Paulo

    Mkuu ndo maana yake ukiona mtu anauza uwekezaji kama huo ujue yamemfika shingoni hakuna namna mkuu
  12. Sonship

    JamiiForums Tanzania Nyumba inauzwa Mbezi -Makabe kwa Paulo

    VALUATION YA MAKADIRIO Mali: Nyumba isiyokamilika yenye paa pamoja na kiwanja cha sqm 1,336. A. Thamani ya Ardhi Ukubwa wa ardhi: 1,336 sqm Hizi sqm1,336 ni zaidi ya viwanja 3 vya sqm 400 Bei ya soko kwa mbezi makabe: TSh milioni 25 kwa kiwanja cha 400 sqm Mahesabu: 3 × milioni 25 = TSh...
  13. Sonship

    JamiiForums Tanzania Nyumba inauzwa Mbezi -Makabe kwa Paulo

    VALUATION YA MAKADIRIO Mali: Nyumba isiyokamilika yenye paa pamoja na kiwanja cha sqm 1,336. A. Thamani ya Ardhi Ukubwa wa ardhi: 1,336 sqm Hizi sqm1,336 ni zaidi ya viwanja 3 vya sqm 400 Bei ya soko kwa mbezi makabe: TSh milioni 25 kwa kiwanja cha 400 sqm Mahesabu: 3 × milioni 25 = TSh...
  14. Sonship

    JamiiForums Tanzania Nyumba inauzwa Mbezi -Makabe kwa Paulo

    MKuu kidogo wewe una logic Ukubwa wa eneo sqm 1336 kwa VALUATION YA MAKADIRIO Mali: Nyumba isiyokamilika yenye paa pamoja na kiwanja cha sqm 1,336. A. Thamani ya Ardhi Ukubwa wa ardhi: 1,336 sqm Hizi sqm1,336 ni zaidi ya viwanja 3 vya sqm 400 Bei ya soko kwa mbezi makabe: TSh milioni 25 kwa...
  15. Sonship

    JamiiForums Tanzania Nyumba inauzwa Mbezi -Makabe kwa Paulo

    Mkuu kwa hicho unachosema labda kwa nyumba zenu za mbagala hukoo sio mbezi
Back
Top Bottom