Sio lazma ununue sisi kama wanajamii tunajuzana tunaelimishana kama hitojal nichek tubadilishane mawazo,,mpaka sasa nimeona matunda yake hao nimewapata kupitia mashine hyo
Mwadela bhabha msukuma unazingua,,sio kila mtu mtapeli
Picha ya mashine ni hii hapa ni rahisi sana kutumia nicheki kwa hiyo namba kwa ushauri na elim kwa ujumla hata kama hutashawishika kuipata
Mi mkazi wa dodoma,,kuna mashine za kienyeji zimegundulika kwa ajili ya kutotoreshea vifaranga zinapatikana kwa urahisi sana na zinatotoa kwa kiwango kikubwa sana,,
Kama kuna mtu anahitajibmaelezo zaidi anicheki kwa 0765144741
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.