Naomba kuwasilisha kero kuhusu changamoto ya upatikanaji wa maji katika eneo la Bulale, Mwanza.
Wananchi wa Bulale tumekuwa katika hali ya ukosefu wa maji kwa takribani miezi mitatu sasa. Licha ya jitihada za mara kwa mara za kuwasiliana na watumishi wa MWAUWASA, tumekuwa tukiambiwa mara kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.