Sikuifanyia makeke mkuu haikupaswa kutumika nchini Tanzania. Nimeweka wazi tatizo hili ili mtu atakayehitaji ajue simu ipoje kuliko kumushikisha mtu bila kujua.
Pata htc one m7 used kwa 400k.
Imetumika mwezi mmoja tu.
charger yake ipo safi kabisa.
Napatikana Daresalaam,
Kwa mawasiliano zaidi 0657233029
Maelewano yapo
Nilikuwa huko mwaka jana. Pana raha yake, mimi leaving sikubeba nilikuwa na cheti cha kuzaliwa. Shida yao ni kuhakiki majina tu kuoitia hvyo vyeti kwa mujibu.
Hizo link zilifunguka jana mapema, baadae zikatokea hvo hata mwaka jana lilitokea hili ila kuruta huwa haamini amini... Mimi mdogo wangu amepangwa msange tabora,, mwingne humu jf makutupora ila sasa hv zinasumbua. Vuteni subira
Mkuu emu waeleze wewe labda.. Hata mwaka jana ilifungwa almost 3 days nakumbuka baada ya kutangaza majina ikawa inasumbua takriban siku 3... Ila ikakaa sawa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.