Recent content by Sokozina

  1. S

    Zitto Kabwe: Dikteta huchukua hatua kadhaa kupandikiza utawala wa Imla

    Ila chama tawala kiliahidi kuhamisha madiwani,wabunge, kuzindua miradi ya zamani,kutumia polisi kisiasa
  2. S

    Jeshi la Polisi: Abdul Nondo alijiteka na kujisafirisha mwenyewe mpaka Iringa. Ladai alifuata mapenzi

    Yule kada wa ccm aliyempa nauli kuripoti polisi alidanganya umma? Huyu mwanafunzi aliwezaji kujisafirisha usiku wa maneno na kufikia kuokotwa akiwa hajitambui? Alitumia dawa gani ilimpoteza fahamu mpaka kutojitambua alipo?
  3. S

    Hivi Mwigulu anavyomwita Mtanzania "Kinyago" ana uhalali wa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani?

    K Kwani hao viongozi wanaotoa kauli gongana kila kukicha wanatolea mahakamani?
  4. S

    Jeshi la Polisi: Abdul Nondo alijiteka na kujisafirisha mwenyewe mpaka Iringa. Ladai alifuata mapenzi

    Wampe nafasi huru ya kuelezea kilichotokea kwann kila kukicha kumsemea?
  5. S

    Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

    Duh, we MTU umeandika nn?ni njaa na kujipendekeza kwenye uficho wa maoni au
  6. S

    Hivi Mwigulu anavyomwita Mtanzania "Kinyago" ana uhalali wa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani?

    Mpeni nafasi huyo kinyago ya kuongelea kilichotokea siyo kumtisha kuficha ukweli
  7. S

    Jicho la mwewe lamnanga Zitto ...yeye auchuna!

    Mkuu zito hakusanyi kodi, kwa jicho LA tatu naona unamnanga zito kwa kumpinga mwenyekiti wako ambayo kiuhalisia alisema amesukumiziwa uraisi
  8. S

    Ushauri, Maoni, Mapendekezo na Pongezi kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda

    Mkuu uchunguzi bila hata suspect kuweka chini ya mahojiano?
  9. S

    Jibuni hoja za msingi kuhusu sababu za Maandamano, tusiwatishie raia tuu hakutasaidia kitu

    Ajira Hamna, mazingira magumu ya watumishi was umma, kodi kubwa za biashara, mikopo ya elimu ya juu, hali mbaya ya huduma za afya
  10. S

    Ikigundulika Abdul Nondo amedanganya kuhusu sakata la kutekwa anaweza kupata àdhabu gani kisheria?

    Je akipewa Uhuru wa kuelezea tukio na kuthibisha kuwa ametekwa, vyombo husika vitawajibika au upelelezi utaendelea kama cases za Roma na wengine?
  11. S

    Leo ndio nimeamini hawa ni wanafiki wakubwa na hawastahili kuzungumza na kulalamika leo

    Mkuu kwa andiko lako, hujawahi kuwa hata kiongozi ngazi ya jumuiya
Back
Top Bottom