Msaada,
Wakati nafanya maombi ya kujiunga na chuo cha UDOM, nimefanikiwa kucreate account na ku log in, shida ni kwamba nime log in nakuta account kwenye dashboard ni empty hakuna sehemu ambapo naweza pata controls number wala sehemu ya kufanya application ya uchaguz wa kozi.
Ni mhitimu wa Diploma ya Maendeleo ya Jamii, anahitaji kuomba sehemu ya kujitolea changamoto ni kwamba hajapata cheti chake cha diploma, ana hati inayoonyesha matokeo tu.
1. Je, akiomba kupitia hiyo anaweza kupata?
2. Ni maeneo gani anaweza kuomba kujitolea ukiacha (halmashauri) serikalini...
Mawazo yote yanaheshimiwa,
Msaada unahitajika kwa wahitimu wa diploma. Ni kozi gani zinaweza kuwa na uwanja mpana kwa government, private na hata kujiajiri kati ya hizi?
1: Bachelor of Community Development
2: Bachelor in Human Resources Management
3: Bachelor in Economics
4: Bachelor in...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.