Sahihi ndugu ni kumshukuru Mungu kwa kila jambo, Mungu hupendezwa na mioyo ya shukrani na kupitia hiyo mioyo ya shukrani, ndipo Baraka zake zilipo, hakika muda si mrefu kwa moyo huo wa shukrani uliomuonesha atakubariki kwa kukupatia nafasi ndugu yangu, nakuombea Baraka zake ziwe nawe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.