Recent content by smtanzania

  1. S

    JamiiForums Tanzania Ujenzi barabara ya Mwendokasi Dar na mambo ya ajabu: Njia ya private cars ni nyembanba sana

    Mimi na swali kuhusu hizo barabara za mwendokasi zinayojegwa Dar es Salaam nzima; ni mimi au barabara zinazojengwa kwajili ya private cars nafasi waliyolitenga mbona kama ni ndogo sana? I mean what if gari ya mtu ikiharibika hamna hata sehemu ya kuligesha. Pia italeta foleni kubwa zaidi...
  2. S

    JamiiForums Tanzania HOJA TRA watoe grace period kwenye ulipaji wa excise duty ya magarai

    Baada ya Waziri wa Fedha kuwasilisha Bajeti ya mwaka 2026/27, Serikali imeongeza kodi ya excise duty kwa magari kulingana na uchakavu wake, ambapo ongezeko ni kati ya asilimia 5 hadi 10 kulingana na mwaka wa utengenezaji wa gari. Sisi wafanyabiashara wa magari hatupingi kulipa kodi. Hata hivyo...
Back
Top Bottom