Kwa mtu mwenye uelewa japo wa kawaida tu, anaweza ona jinsi kasi ya kuporomoka kwa CCM ktk jamii ni kubwa, licha ya jitihada nyingi zifanywazo.
SWALI: Je, CCM wakiiga KILA wafanyacho CHADEMA (kwa sasa, yaani Mikakati, mbinu ,nk), wanaweza kurejesha ushawishi unaoporomoka?