Mimi binafsi napenda uwekezaji, ila uwe na tija kwa taifa, pia serikali ilituambia kua baada ya ile IGA kutafuata uwekezaji kamili. Ambapo kila hatua itakua na mikataba yake, mfano dp world wanataka kujenda bandari ya nchi kavu vigwaza, utaratibu na sheria zote za kiuwekezaji itatakiwa zifuatwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.