mtandao wa @X umefungiwa Tanzania. Lakini bado tunaona serikali inaendelea kutengeneza maudhui na habari kupitia kurasa za viongozi. rais, na wengine. pia kupitia kurasa za taasisi @ikulumawasliano , ofisi za wizara na wengine. Je serikali inamhabarisha nani?
kwenu JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.