Katibu mkuu wa wazazi ndg Ally Hapi yupo katika mgogoro mkubwa na viongozi wa jumuiya hiyo- Tarifa zilizopo ktk mwezi mmoja amekwapua hela nyingi kwa mambo binafsi; mbabe na haheshimu viongozi wake
Tangu ateuliwe hajakutana na hataki kukutana na viongozi wakuu wa jumuiya
Anguko la chadema ni wazi kabisa
Uchaguzi ndani ya Chama ni wana demokrasia vs dikteta
Fedha chafu( mbowe) vs tundu LISU
Covid 19 ni cancer mbowe anavuta mbunga kila mwezi kupitia covid 19
Mgogoro ni mkubwa
Issue ni hivi sugu ana mzigo wa kutosha na mfuasi wa mbowe
Msigwa kalalamika kwa LISU hana hela na ni mfuasi wake na bila kujizuia kaweka hadharani
Kuna kambi ya mbowe na kambi ya LISU
Pambalu( LISU) vs wenje ( mbowe)
Kambi ya mbowe ina hela Chafu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.